Monday, April 11, 2011

Mukama katibu mkuu mpya wa CCM

Chama cha mapinduzi (CCM) kimemteua ndugu Wilson Mukama katibu mkuu mpya wa CCM katika kikao chake kilichokuwa kinaendelea cha NEC.Anachukua nafasi iliyoachwa wazi na Yusufu Makamba baada ya kujiuzulu.wakati huo huo, Nape Nnauye pia ameteuliwa kuwa mkuu wa itikadi uenezi wa CCM huku mama Zakia Megji akichukua nafasi ya katibu-fedha

kama katibu mkuu mpya CCM

Chama cha mapinduzi (CCM) kimemteua ndugu Wilson Mukama katibu mkuu mpya wa CCM katika kikao chake kilichokuwa kinaendelea cha NEC.Anachukua nafasi iliyoachwa wazi na Yusufu Makamba baada ya kujiuzulu.wakati huo huo, Nape Nnauye pia ameteuliwa kuwa mkuu wa itikadi uenezi wa CCM huku mama Zakia Megji akichukua nafasi ya katibu-fedha.

Followers