Hapa niko na mbunge wa uganda(kushoto),course coordinator,Shimrit (kati kati) na mimi kulia.nyuma yetu ni kisima kilichochimbwaga na Ibrahim(angalia biblia yako mwanzo 21)
Wanaharakati nimesahau kuwahabarisha picha hiyo hapo juu.Hapo nilikuwa katika mji wa Beersheba-Israel.nilipata muda wa kupiga picha mbunge wa uganda(mwanaharakati wa akina mama)anaitwa Agness Ogunyu(kushoto),katikati ni course coordinator wetu,Shimritz na kulia ni mwanaharakati wenu bm
1 comment:
Wanaharakati nimesahau kuwahabarisha picha hiyo hapo juu.Hapo nilikuwa katika mji wa Beersheba-Israel.nilipata muda wa kupiga picha mbunge wa uganda(mwanaharakati wa akina mama)anaitwa Agness Ogunyu(kushoto),katikati ni course coordinator wetu,Shimritz na kulia ni mwanaharakati wenu bm
Post a Comment