Tuesday, December 16, 2008

DAUDI NA GOLIATHI

Hapa tuko kwenye kilima kijulikanacho kama TEL-AZEKA ambako Daudi alimgongomelea Goliath kwa jiwe moja tu chini!!hapa ndipo pambano hilo lilifanyika.Mimi(kushoto) nikiwa kama Daudi na mwenzangu(kulia,mkenya)akiwa kama Goliath.nilimtwanga jiwe moja tu...chini kifudi fudi!!!

No comments:

Followers